David Silva akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la ushindi dakika ya 83 ikiilaza 2-1 West Ham United Jumapili Uwanja wa Etihad katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. West Ham walitangulia kwa bao la Angelo Ogbonna dakika ya 44, kabla ya Nicolas Otamendi kuisawazishia Man City dakika ya 57 ikishinda mechi ya 13 mfululizo msimu huu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
BREAKING: Brazilian VP, Alckmin arrives Nigeria for historic strategic
dialogue
-
From Juliana Taiwo-Obalonye, Abuja Brazilian Vice President Geraldo
Alckmin, accompanied by his wife Maria LĂșcia Alckmin, landed Tuesday at the
President...
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment