Cristiano Ronaldo akitumia simu ya Daktari wa timu yake kuangalia namna alivyoumia shingoni baada ya kupigwa teke na Fabian Schar wa Deportivo La Coruna leo wakati wa mchezo wa La Liga Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid, timu yake, Real Madrid ikishinda 7-1 huku yeye akifunga mabao mawili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Senne Lammens urges Man United chiefs to launch summer spending spree with
Red Devils set to compete on multiple fronts after securing Champions
League qualification
-
CHRIS WHEELER: United were stretched in Saturday's goalless draw at
Sunderland where Casemiro , Benjamin Sesko and Manuel Ugarte missed the
game.
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment