Cristiano Ronaldo (kulia) na Gareth Bale wakipongezana baada ya kila mmoja kufunga mabao mawili katika ushindi wa 7-1 dhidi ya Deportivo La Coruna leo kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Bernabeu. Ronaldo alifunga dakika za 78 na 84, Bale dakika za 42 na 58 wakati mabao mengine ya timu ya kocha Mfaransa, Zinadine Zidane yamefungwa na Nacho mawili pia dakika za 32 na 88 na Luka Modric dakika ya 68 baada ya Adrian kutangulia kuifungia Deportivo dakika ya 23 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rohit Sharma score in today's IPL 2026 match: How many runs did MI star
score against RCB in Raipur
-
Rohit Sharma will be back in action against Royal Challengers Bengaluru in
the 19th season of the Indian Premier League for Mumbai Indians on Sunday
at the...
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment