Mshambuliaji Mbelgiji Romelu Lukaku akishangilia baada ya kuifungia mabao yote Manchester United dakika za tatu na 35 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Huddersfield Town kwenye mchezo wa hatua ya 16 Bora ya Kombe la FA England leo Uwanja wa The John Smith, Huddersfield, West Yorkshire PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Key detail in Homeland Security's 'Speedway Slammer' plans stuns
Mexican-born IndyCar driver Pato O'Ward
-
A recent Homeland Security social media post was a little too on the nose
for one IndyCar driver, Mexican-born U.S. Citizen Pato O'Ward, who has
since reac...
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment