Mshambuliaji Muargentina, Sergio Aguero akifurahia na wenzake Bernardo Silva na Brahim Diaz baada ya kuifungia Manchester City bao la tatu dakika ya 89 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya West Bromwich Albion usiku wa Jumatano Uwanja wa Etihad, Mabao mengine ya City yamefungwa na Fernandinho dakika ya 19 na Kevin De Bruyne dakika ya 68 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Atletico Madrid believe Barcelona target could leave; sale possible if high
offer arrives
-
In what could be a big boost to FC Barcelona’s transfer plans, journalist
Pedro Fullana of Cadena SER reports that Atletico Madrid are starting to
believe ...
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment