Mshambuliaji Muargentina, Sergio Aguero akifurahia na wenzake Bernardo Silva na Brahim Diaz baada ya kuifungia Manchester City bao la tatu dakika ya 89 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya West Bromwich Albion usiku wa Jumatano Uwanja wa Etihad, Mabao mengine ya City yamefungwa na Fernandinho dakika ya 19 na Kevin De Bruyne dakika ya 68 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Hearts 2-0 Aberdeen: Flying start fuels high hopes that Derek McInnes can
disrupt natural order
-
As Tony Bloom talks the talk about his lofty ambitions for Hearts, Derek
McInnes and his players indicated they are ready to walk the walk in the
Premiership.
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment