Pierre-Emerick Aubameyang akishangilia baada ya kuifungia Arsenal mabao mawili dakika za 75 kwa penalti na 86 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Stoke City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Emirates, London. Bao lingine la Arsenal limefungwa na Alexandre Lacazette kwa penalti pia dakika ya 89 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Erling Haaland's night on the (China) Town: Man City star poses for snaps
outside viral restaurants and shares another glimpse into his refuelling
habits after starring in Dortmund win
-
How does one of the best strikers in the world celebrate scoring in a
thumping win against his former side? By going out for a succulent Chinese
meal, of c...
19 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment