Juan Cuadrado akishangilia baada ya kuifungia Juventus bao la pili dakika ya 79 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya AC Milan usiku wa jana Uwanja wa Allianz mjini Torino. Mabao mengine ya Juventus yamefungwa na Paulo Dybala dakika ya nane na Sami Khedira dakika ya 87 wakati la Milan limefungwa na Leonardo Bonucci dakika ya 28 katika mchezo wa Serie A, Italia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
UK passengers on hantavirus-hit ship will fly home after Tenerife screening
-
The MV Hondius is heading for the Canary Islands where Britons on board
will be transferred to Merseyside hospital
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment