Juan Cuadrado akishangilia baada ya kuifungia Juventus bao la pili dakika ya 79 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya AC Milan usiku wa jana Uwanja wa Allianz mjini Torino. Mabao mengine ya Juventus yamefungwa na Paulo Dybala dakika ya nane na Sami Khedira dakika ya 87 wakati la Milan limefungwa na Leonardo Bonucci dakika ya 28 katika mchezo wa Serie A, Italia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
California could slash 5 GOP US House seats, as Texas moves at Trump's
urging to pad GOP margin
-
California Democrats are considering new political maps that could slash
five Republican-held House seats in the liberal-leaning state while
bolstering Dem...
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment