Wachezaji wa Paris Saint-Germain wakishangilia na Kombe lao la Ligi Ufaransa baada ya ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Monaco usiku wa jana Uwanja wa, mabao ya Edinson Cavani mawili, dakika ya nane kwa penalti baada ya Kylian Mbappe kuchezewa rafu na dakika ya 85 na Angel di Maria dakika ya 21 wakati Nahodha, Radamel Falcao pia alifunga, lakini bao likakataliwa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Hearts 2-0 Aberdeen: Flying start fuels high hopes that Derek McInnes can
disrupt natural order
-
As Tony Bloom talks the talk about his lofty ambitions for Hearts, Derek
McInnes and his players indicated they are ready to walk the walk in the
Premiership.
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment