Kiungo Mfaransa, Paul Pobga (kushoto) akimpongeza mshambuliaji Mbelgiji, Romelu Lukaku baada ya kuifungia Manchester United bao la pili dakika ya 70 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, AFC Bournemouth Uwanja wa Vitality, Bournemouth, Dorset, Bao la kwanza la United lilifungwa na Chris Smalling dakika ya 28 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
GM Could Cut China Reliance On Magnets
-
Three suppliers secure magnets while Niron explores alternatives
7 minutes ago
0 comments:
Post a Comment