Kiungo Mfaransa, Paul Pobga (kushoto) akimpongeza mshambuliaji Mbelgiji, Romelu Lukaku baada ya kuifungia Manchester United bao la pili dakika ya 70 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, AFC Bournemouth Uwanja wa Vitality, Bournemouth, Dorset, Bao la kwanza la United lilifungwa na Chris Smalling dakika ya 28 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Trump tariffs on pasta could soon hit 100 percent: ‘Double the price’
-
Thirteen of Italy’s biggest pasta producers will face tariffs of 91.74
percent come January
22 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment