Santi Cazorla akiifungia bao la kusawazisha Villarreal dakika ya 82 katika sare ya 2-2 na Real Madrid jana Uwanja wa Ceremica. Cazorla ndiye aliyefunga bao la kwanza la Villarreal pia dakika ya nne, wakati mabao ya Real Madrid yalifungwa na Karim Benzema dakika ya saba na Raphael Varane dakika ya 20 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
UFC 328 results: Sean Brady dominates Joaquin Buckley to win despite surge
of irregular betting movement
-
Sean Brady found himself under a microscope Saturday ahead of his UFC 328
bout against Joaquin Buckley. As it turns out, it was much ado about
nothing.
16 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment