DOMAYO, CHILUNDA WOTE WAFUNGA AZAM FC YAICHAPA MBUNI FC YA ARUSHA 3-0
Wachezaji wa Azam FC, kiungo Frank Domayo (kushoto) na mshambuliaji Shaaban Iddi Chilunda wakipongezana baada ya wote kufunga katika usindi wa Azam FC wa 3-0 dhidi ya Mbuni FC ya mkoani Arusha kwenye mchezo wa kirafiki jana usiku wa jana Uwanja wa Azam Complex, Chamazi mjini Dar es Salaa. Domayo alifunga dakika ya tatu na Chilunda dakika ya sita wakati bao la tatu lilifungwa na mshambuliaji Mzimbabwe, Donald Ngoma dakika ya 68
The Maple Leafs are bleeding Grade-A chances
-
The Toronto Maple Leafs' defensive lapses are becoming a big problem.
Serious Stanley Cup contenders don't have those types of bad habits.
Ogun donates land to FG to develop inland dry port
-
From Idu Jude, Abuja The Government of Ogun State has donated over 130
hectares of land to the federal government of Nigeria for the development
of an in...
0 comments:
Post a Comment