Mshambuliaji Jhonder Cadiz akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Dijon dakika ya 47 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Paris St Germain kwenye mchezo wa Ligue 1, Ufaransa usiku wa jana Uwanja wa Gaston-Gerard mjini Dijon. Paris St Germain ilitangulia kwa bao la Kylian Mbappe dakika ya 19 kabla ya Mounir Chouiar kuisawazishia Dijon dakika ya 45 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
How a Tory MP 37 years ago has inspired a Labour MP’s ‘stalking horse’
leadership challenge to Starmer
-
NEWS ANALYSIS: Political editor David Maddox looks at how Sir Anthony
Meyer’s challenge to Margaret Thatcher in 1989 is now being played out in
2026 by Cat...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment