Mshambuliaji Jhonder Cadiz akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Dijon dakika ya 47 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Paris St Germain kwenye mchezo wa Ligue 1, Ufaransa usiku wa jana Uwanja wa Gaston-Gerard mjini Dijon. Paris St Germain ilitangulia kwa bao la Kylian Mbappe dakika ya 19 kabla ya Mounir Chouiar kuisawazishia Dijon dakika ya 45 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Dallas Cowboys plan season-long Marshawn Kneeland tribute after tragic
death at 24
-
Kneeland died by apparent suicide at the age of 24 on Wednesday night,
roughly 48 hours after he scored his first NFL touchdown for the Cowboys
against the...
22 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment