Mshambuliaji Jhonder Cadiz akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Dijon dakika ya 47 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Paris St Germain kwenye mchezo wa Ligue 1, Ufaransa usiku wa jana Uwanja wa Gaston-Gerard mjini Dijon. Paris St Germain ilitangulia kwa bao la Kylian Mbappe dakika ya 19 kabla ya Mounir Chouiar kuisawazishia Dijon dakika ya 45 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Scotland's Grant Forrest claims Nexo Championship title... before fielding
a personal call from Donald Trump to congratulate him!
-
Scotland's Grant Forrest was congratulated by US President Donald Trump as
he eased to victory on home soil for the second time in his career
following a f...
41 minutes ago
0 comments:
Post a Comment