MKUFUNZI SUNDAY KAYUNI AKIWAPA DARASA MAKOCHA WANAOSHIRIKI KOZI YA DIPLOMA C YA CAF
Mkufunzi wa Kimataifa, Sunday Burton Kayuni akiwafundisha washiriki wa Kozi ya Ukocha ya Diploma C ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) inayoendelea kwenye ofisi za Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) Uwanja wa Karume mjini Dar es Salaam. Kozi hiyo ya siku 28 inashirikisha Makocha 30 kutoka mikoa mbalimbali
Kocha wa makipa wa klabu ya Yanga, Manyika Peter ni mmoja wa washiriki
Kocha wa timu ya wanawake ya Simba, Mussa Hassan Mgosi ni mmoja wa washiriki
Washiriki wakimsikiliza kwa makini Mkufunzi Sunday Kayuni wakati akitoa somo darasani
Calling NAFDAC officials to order
-
By Chike Okeke The National Agency for Food and Drugs Administration and
Control (NAFDAC) has of recent been in the news for wrong reasons. The
agency es...
0 comments:
Post a Comment