Kyle Walker akikimbia kushangilia baada ya kufunga bao la ushindi dakika ya 86 huku kiungo Pierre-Emile Hojbjerg akivuta bukta yake kwa hasira, Manchester City ikiilaza Southampton 2-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Southampton ilitangulia kwa bao la James Ward-Prowse dakika ya 13, kabla ya Walker kumsetia Sergio Aguero kufunga bao la kusawazisha dakika ya 70 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The inside story of how footy star's club helped keep his rape charge a
secret and the act that left AFL fans shocked - as claims are dropped
-
Geelong Cats star Tanner Bruhn was stood down for the entire 2026 season,
with the vast majority of footy fans kept in the dark about the real reason
why.
32 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment