Kyle Walker akikimbia kushangilia baada ya kufunga bao la ushindi dakika ya 86 huku kiungo Pierre-Emile Hojbjerg akivuta bukta yake kwa hasira, Manchester City ikiilaza Southampton 2-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Southampton ilitangulia kwa bao la James Ward-Prowse dakika ya 13, kabla ya Walker kumsetia Sergio Aguero kufunga bao la kusawazisha dakika ya 70 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jose Ochoa def. Clayton Carpenter at UFC 328: Best photos
-
Jose Ochoa's win over Clayton Carpenter, UFC 328, Prudential Center,
Newark, N.J. (Photos by John Jones-Imagn Images; UFC; MMA
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment