Tyrone Mings akishangilia na wenzake baada ya kuifungia Aston Villa bao la kusawazisha dakika ya 66 ikitoa sare ya 2-2 na wenyeji, Manchester United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Old Trafford. Bao la kwanza la Aston Villa limefungwa na Jack Grealish dakika ya 11, wakati mabao ya Man United yamefungwa na Tom Heaton aliyejifunga dakika ya 42 na Victor Lindelof dakika ya 64 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Harry Kane is mocked by fans after adopting strange 'German accent' - as he
earns comparisons to infamous Steve McClaren blunder
-
The striker was giving an interview from an ice bath in footage taken
before Bayern's barnstorming 10-0 thrashing of Auckland City in the Club
World Cup.
48 minutes ago
0 comments:
Post a Comment