Kiungo wa Real Madrid, Federico Valverde (kushoto) akisikitka baada ya mshambuliaji Alexander Isak kuifungia Real Sociedad mabao mawili dakika za 54 na 56 katika ushindi wa 4-3 dhidi ya wenyeji kwenye mchezo wa Robo Fainali Kombe la Hispania usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu Jijini Madrid. Mabao mengine ya Real Sociedad yalifungwa na Martin Odegaard dakika ya 22 na Mikel Merino dakika ya 69, wakati mabao ya Real Madrid yalifungwa na Marcelo dakika ya 59, Rodrygo dakika ya 8 na Nacho dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Max Verstappen's title hopes suffer HUGE blow as F1 star crashes out of
Brazilian Grand Prix qualifying - prompting father Jos to furiously storm
out of Red Bull garage
-
Verstappen Snr first, and Verstappen Jnr second, thundered out of the Red
Bull garage.
30 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment