Cristiano Ronaldo wa Real Madrid akilalamikia jambo wakati wa mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya wenyeji, Legia Warsaw usiku huu Uwanja wa Pepsi Arena mjini Warsaw, Poland. Timu hizo zilitoka sare ya 3-3 mabao ya Legia Warsaw yakifungwa na Vadis Odjidja, Miroslav Radovic na Thibault Moulin wakati ya Real yalifungwa na Gareth Bale, Karim Benzema na Mateo Kovacic PICHA ZAIDI GONGA HAPA
England debutants claim maiden wickets against New Zealand
-
England debutants Tilly Corteen-Coleman, Jodi Grewcock and Dani Gibson each
pick up a wicket against New Zealand during the first ODI in Durham.
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment