Wachezaji wa Bayern Munich kutoka kulia Robert Lewandowski, Thiago na Arjen Robben wakishangilia baada ya ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Schalke kwenye mchezo wa Robo Fainali Kombe la Ujerumani usiku wa jana Uwanja wa Allianz Arena. Mabao ya Bayern yalifungwa na Lewandowski mawili dakika za tatu na 29 na Thiago Alcantara dakika ya 16. Bayern watakuwa wageni wa Arsenal Machi 7 Uwanja wa Emirates, London katika mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya, baada ya kushinda 5-1 mchezo wa kwanza nyumbani, Munich PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Abuja authorities dismantle criminal hideout, seize 20 vehicles
-
From Juliana Taiwo-Obalonye, Abuja In a sweeping operation targeting
illegal settlements in the heart of Abuja, the city’s Development Control
Department...
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment