Paulo Dybala akishangilia baada ya kuifungia Juventus mabao mawili dakika za 47 na 69 yote kwa penalti katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Napoli usiku wa jana Uwanja wa Juventus mjini Torino katika Robo Fainali ya kwanza ya Kombe la Italia. Bao lingine la Juve lilifungwa na Gonzalo Higuain dakika ya 64, wakati la Napoli lilifungwa na Jose Callejon dakika ya 36 na sasa Kibibi Kizee cha Turin kinahitaji sare mchezo wa marudiano ili kutinga Nusu Fainali ya Coppa Italia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Why the AFL doesn't want you to know who this mystery man is
-
The top brass at AFL headquarters won't be impressed after the reason for
the man's presence at several games was revealed on TV on Monday night.
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment