Lionel Messi akionyesha masikitiko yake baada ya timu yake, Barcelona kutolewa katika hatua ya Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana kufuatia kulazimishwa sare ya 0-0 na Juventus ya Italia katika mchezo wa marudiano. Juventus ilishinda 3-0 kwenye mchezo wa kwanza wiki iliyopita na sasa inatinga Nusu Fainali, ikiungana na Atletico Madrid, Real Madrid za Hispania na Monaco ya Ufaransa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ex-New York Giants player Dave Gallagher, who quit football to become a
surgeon, dead at 73
-
A former NFL player who quit football to become an orthopedic surgeon has
died at the age of 73, according to a newly-published obituary.
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment