Lionel Messi akionyesha masikitiko yake baada ya timu yake, Barcelona kutolewa katika hatua ya Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana kufuatia kulazimishwa sare ya 0-0 na Juventus ya Italia katika mchezo wa marudiano. Juventus ilishinda 3-0 kwenye mchezo wa kwanza wiki iliyopita na sasa inatinga Nusu Fainali, ikiungana na Atletico Madrid, Real Madrid za Hispania na Monaco ya Ufaransa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The Lions head Down Under! Maro Itoje leads his squad to Australia...
flying in the world's most luxurious suites
-
The Lions journey to Australia has finally begun after the players took off
from Dublin on Saturday morning. The squad bedded down in their luxury
Qsuites ...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment