Lionel Messi akionyesha masikitiko yake baada ya timu yake, Barcelona kutolewa katika hatua ya Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana kufuatia kulazimishwa sare ya 0-0 na Juventus ya Italia katika mchezo wa marudiano. Juventus ilishinda 3-0 kwenye mchezo wa kwanza wiki iliyopita na sasa inatinga Nusu Fainali, ikiungana na Atletico Madrid, Real Madrid za Hispania na Monaco ya Ufaransa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
“Absolute garbage” – talkSPORT pundit slams “£1billion” spending ‘worse
than poo’ Chelsea
-
One talkSPORT pundit has absolutely gone in on Chelsea after they failed to
beat Qarabag in the Champions League.Chelsea were held to a 2-2 draw at
Qarabag...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment