Kylian Mbappe (kushoto) akishangilia kibabe baada ya kuifungia Monaco bao la kwanza katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Borussia Dortmund kwenye mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Louis II mjini Monaco, Ufaransa. Kulia ni mfungaji wa bao la pili Radamel Falcao dakika ya 17 na bao la tatu lilifungwa na Valere Germain dakika ya 81 wakati bao pekee la Dortmund lilifungwa na Marco Reus dakika ya 48. Monaco inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 6-3, baada ya awali kushinda 3-2 Dortmund PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ian McLauchlan dead aged 83: British and Irish Lions legend known as
'Mighty Mouse' passes away as tributes pour in for 'indestructible' hero
-
Nicknamed 'Mighty Mouse' for his powerful scrummaging and compact frame, he
won 43 caps for Scotland between 1969 and 1979, captaining his country 19
times.
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment