Kylian Mbappe (kushoto) akishangilia kibabe baada ya kuifungia Monaco bao la kwanza katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Borussia Dortmund kwenye mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Louis II mjini Monaco, Ufaransa. Kulia ni mfungaji wa bao la pili Radamel Falcao dakika ya 17 na bao la tatu lilifungwa na Valere Germain dakika ya 81 wakati bao pekee la Dortmund lilifungwa na Marco Reus dakika ya 48. Monaco inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 6-3, baada ya awali kushinda 3-2 Dortmund PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Under-fire Mike Vrabel returns to Patriots practice field amid ongoing
fallout of Dianna Russini affair scandal
-
Pictures emerged this week of Vrabel and a pregnant Russini getting a boat
together in Tennessee in June 2021 in the latest instalment of the saga,
which b...
25 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment