Kylian Mbappe (kushoto) akishangilia kibabe baada ya kuifungia Monaco bao la kwanza katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Borussia Dortmund kwenye mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Louis II mjini Monaco, Ufaransa. Kulia ni mfungaji wa bao la pili Radamel Falcao dakika ya 17 na bao la tatu lilifungwa na Valere Germain dakika ya 81 wakati bao pekee la Dortmund lilifungwa na Marco Reus dakika ya 48. Monaco inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 6-3, baada ya awali kushinda 3-2 Dortmund PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Son Heung-min says goodbye to Tottenham as club legend reads emotional
letter to fans after completing record-breaking move to LAFC
-
Tottenham Hotspur officially confirmed the departure of club legend Son
Heung-min on Wednesday evening by sharing a video of the 33-year-old saying
goodbye.
51 minutes ago
0 comments:
Post a Comment