Laurent Depoitre akipiga mpira kuifungia bao la pili Huddersfield dakika ya 33 baada ya kumzunguka kipa wa Manchester United, David De Gea Uwanja wa The John Smith, Huddersfield, West Yorkshire katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo. Huddersfield imeshinda 2-1, bao la kwanza likifungwa na Aaron Mooy dakika ya 28, wakati la Man United limefungwa na Marcus Rashford dakika ya 78 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Daizen Maeda scores one of the great Old Firm goals as Celtic close gap on
Hearts
-
Rangers took the lead but Celtic roared back to take the title race into
the final week of the season
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment