Cesc Fabregas na wachezaji wenzake wa Chelsea wakiwa hoi baada ya kufungwa bao la tatu, wakichapwa 3-0 na AFC Bournemouth katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Stamford Bridge, London. Mabao ya Bournemouth yamefungwa na Callum Wilson dakika ya 51, Junior Stanislas dakika ya 64 na Nathan Ake dakika ya 67 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Anthony Gordon has not scored or assisted for NINETEEN Premier League
games... but CRAIG HOPE reveals why Newcastle insiders are not worried, his
honest talks with Eddie Howe and the strange motivational technique the
England star will use
-
Gordon revealed in the summer that he needs something to go wrong to come
back stronger. 'I need to make it personal with myself,' he told me in
Seoul.
27 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment