Mshambuliaji Mfaransa Olivier Giroud (kushoto) akishangilia na mchezaji mwenzake mpya, Emerson Palmieri baada ya kuifungia Chelsea bao lake la kwanza tangu asajiliwe kutoka Arsenal dakika ya 42 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Hull City usiku wa Ijumaa Uwanja wa Stamford Bridge, London kwenye mchezo wa hatua ya 16 Bora kombe la FA England. Mabao mengine ya The Blues inayotinga Robo Fainali yamefungwa na Willian mawili dakika ya pili na 32 na Pedro dakika ya 27 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
FEC halts new federal tertiary institutions for 7 years
-
Approves nine new private varsities From Juliana Taiwo-Obalonye, Abuja The
Federal Executive Council meeting, chaired by President Bola Tinubu on
Wednesd...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment