Mshambuliaji Mfaransa Olivier Giroud (kushoto) akishangilia na mchezaji mwenzake mpya, Emerson Palmieri baada ya kuifungia Chelsea bao lake la kwanza tangu asajiliwe kutoka Arsenal dakika ya 42 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Hull City usiku wa Ijumaa Uwanja wa Stamford Bridge, London kwenye mchezo wa hatua ya 16 Bora kombe la FA England. Mabao mengine ya The Blues inayotinga Robo Fainali yamefungwa na Willian mawili dakika ya pili na 32 na Pedro dakika ya 27 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lionel Messi makes more MLS history as fastest player to 100 goals and
assists
-
Lionel Messi moved his career MLS totals to 59 goals and 41 assists in
Inter Miami's win, becoming the fastest player ever to 100 goal
contributions.
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment