Dele Alli akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Tottenham Hotspur dakika za 62 na 66 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Chelsea usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge, London kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao lingine la Spurs likifungwa na Christian Eriksen dakika ya 45 na ushei wakati la Chelsea lilifungwa na Alvaro Morata dakika ya 30 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bride Refuses to Let Sister Bring Her Newborn Baby to Her 'Child-Free'
Wedding, Says She's 'Ruining the Family Dynamic'
-
The sister wrote that the bride is "the type of person who wants a 'perfect
aesthetic' for everything"
54 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment