Nyota wa muziki wa Bongo Fleva, Nassib Abdul (kushoto) akimuambia jambo Naibu Mtendaji Mkuu wa Azam TV, Jacob Joseph wakati wa tamasha la usikuwa tuzo za Filamu Tanzania SZIFF ukumbi wa Mlimani City mjini Dar es Salaam jana
Diamond Plutnumz akifuatilia tamasha la usiku wa SZIFF jana
Mgerni rasmi, Rais mstaafu wa awamu ya Nne, Jakaya Mrisho Kikwete (kushoto) akizungumza jambo na Mtendaji Mkuu wa Azam Media Group Limited Limited, Tido Mhando (katikati) wakati wa tamasha hilo
Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete akiandika mambo wakati tamasha hilo likiendelea
Inaonekana Rais Mstaafu Jakaya Kikwete alikuwa anaandika hotuba yake
Msanii nguli, King Majuto (katikati) alikuwepo pia jana
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Hajji Manara (kushoto)
Baadhi ya wadau walioalikwa kwenye tamasha hilo
Zaidi ya watu 2000 walikuwepo ukumbini jana
Wadau mbalimbali katika picha ya pamoja jana Mlimani City
What a reporter found when she investigated US military strikes on
Venezuelan drug boats
-
GÜIRIA, Venezuela (AP) — Regina Garcia Cano was the reporter behind The
Associated Press’ story that provided the first comprehensive account and
identifie...
47 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment