Nahodha Jordan Henderson akishangilia na mfungaji wa bao pekee la Liverpool, Mohamed Salah kwa penalti dakika ya 50 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Brighton & Hove Albion leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa The AMEX. Ushindi huo unaifanya Liverpool ifikishe pointi 57 baada ya kucheza mechi 22 ikiendelea kuongoza Ligi Kuu ya England kwa pointi saba zaidi ya mabingwa watetezi, Manchester City wanaofuatia katika nafasi ya pili ambao hata hivyo wana mchezo mmoja mkononi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Man United to open mega pop-up PUB at Old Trafford which can hold
over a THOUSAND fans - and it will be open on time for the first game of
the season against Arsenal!
-
MIKE KEEGAN: Officials will unveil vast, 900 square metre-marquee behind
the Stretford End in time for their first match of the season on Sunday
against Ar...
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment