Nahodha Jordan Henderson akishangilia na mfungaji wa bao pekee la Liverpool, Mohamed Salah kwa penalti dakika ya 50 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Brighton & Hove Albion leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa The AMEX. Ushindi huo unaifanya Liverpool ifikishe pointi 57 baada ya kucheza mechi 22 ikiendelea kuongoza Ligi Kuu ya England kwa pointi saba zaidi ya mabingwa watetezi, Manchester City wanaofuatia katika nafasi ya pili ambao hata hivyo wana mchezo mmoja mkononi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Matt Damon Revives Iconic Impression for All-Star ‘SNL’ Cold Open
-
Returning host Matt Damon reprised his famous role as Supreme Court Justice
Brett Kavanaugh in the latest Saturday Night Live cold open. Damon first
appear...
21 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment