Michy Batshuayi akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la nne dakika ya 89 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, Southampton leo Uwanja wa St. Mary's, Hampshire. Mabao mengine ya Chelsea yamefungwa na Tammy Abraham dakika ya 24, Mason Mount dakika ya 17 na N'Golo Kanté 40, wakati la Southampton limefungwa na Danny Ings dakika ya 30 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
England win Women's Rugby World Cup on home turf - after backing from
cowboy hat-clad Princess of Wales as she and William lead congratulations
-
The Red Roses put on a consistently strong performance against Canada in
the showdown in front of around 80,000 fans.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment