Wachezaji wa Liverpool, Mbrazil Roberto Firmino na Msenegal Sadio Mane wakipongezana baada ya mechi ya kirafiki baina ya timu zao za taifa usiku wa jana Uwanja wa Taifa mjini Singapore. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1, Firmino akianza kuifungia Brazil dakika ya tisa kabla ya Famara Diedhiou kuisawazishia Senegal kwa penalti dakika ya 45 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
2027: There’re divisions among coalition leaders – Hakeem Baba-Ahmed
-
Former Spokesperson for the Northern Elders Forum, Hakeem Baba-Ahmed, has
faulted coalition talks, saying there are divisions among its leaders.
Baba-Ahm...
49 minutes ago
0 comments:
Post a Comment