Gabriel Martinelli akishangilia baada ya kuifungia Arsenal mabao mawili dakika ya 13 na 16 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Standard Liège kwenye mchezo wa Kundi F UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Emrates. Mabao mengine ya Arsenal yalifungwa na Joe Willock dakika ya 22 na Dani Ceballos dakika ya 57 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
England win Women's Rugby World Cup on home turf - after backing from
cowboy hat-clad Princess of Wales as she and William lead congratulations
-
The Red Roses put on a consistently strong performance against Canada in
the showdown in front of around 80,000 fans.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment