Gabriel Martinelli akishangilia baada ya kuifungia Arsenal mabao mawili dakika ya 13 na 16 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Standard Liège kwenye mchezo wa Kundi F UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Emrates. Mabao mengine ya Arsenal yalifungwa na Joe Willock dakika ya 22 na Dani Ceballos dakika ya 57 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Maro Itoje bemoans 'tippy-tappy' rugby as British & Irish Lions captain
admits they only showed 'glimmers' of quality against injury-hit Argentina
during shock defeat
-
Ahead of the hotly-anticipated visit to Australia, Andy Farrell's side were
beaten 28-24 at the Aviva Stadium by a Pumas side missing several key
players. ...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment