MSHAMBULIAJI Cristiano Ronaldo akishangilia kibabe baada ya kuifungia Ureno bao la pili dakika ya 65, likiwa 699 jumla kwake kufunga pamoja na mechi za klabu katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Luxembourg usiku wa jana kwenye mchezo wa Kundi B kufuzu Euro 2020. Mabao mengine ya Ureno yalifungwa na Bernardo Silva dakika ya 16 na Goncalo Guedes dakika ya 89 Uwanja wa Uwanja wa Jose Alvalade mjini Lisbon PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL's 'Phillies Karen' sparks fury with bizarre excuse for stealing young
boy's gift from Patrick Mahomes
-
Mahomes was seen trying to give his arm sleeve to a young Chiefs fan in the
crowd after their win over the Giants at MetLife Stadium, only for a nearby
adu...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment