Mchezaji wa zamani wa Arsenal, Serge Gnabry akishangilia baada ya kufungia Bayern Munich mabao manne dakika za 53, 55, 83 na 88 katika ushindi wa 7-2 dhidi ya wenyeji Tottenham Hotspur kwenye mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Tottenham Hotspur mjini London. Mabao mengine ya Bayern Munich yalifungwa na Joshua Kimmich dakika ya 15 na Robert Lewandowski 45 na 87 wakati ya Spurs yalifungwa na Son Heung-Min dakika ya 12 na Harry Kane kwa penalti dakika ya 61 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
UFC legend brutally knocked out - by a man wearing a TUXEDO - in post-fight
brawl following boxing debut
-
Legendary UFC fighter Wanderlei Silva's boxing debut could hardly have gone
worse. First he lost his fight against Acelino Freitas, and then he was
knocked...
56 minutes ago
0 comments:
Post a Comment