Bondia Mmexico, Canelo Alvarez akimtazama mpinzani wake, Mrusi Sergey Kovalev mwenye umri wa miaka 36 baada ya kumuangusha chini na kupata ushindi wa Knockout (KO) raundi ya 11 asubuhi ya leo ukumbi wa MGM Grand, Grand Garden Arena mjini Las Vegas Marekani. Kwa ushindi huo, Alvarez mwenye umri wa miaka 29 anakuwa bingwa wa WBO uzito Light Heavy na kuweka rekodi ya kushinda mataji manne ya dunia katika uzito tofauti kwenye ngumi za kulipwa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Novak Djokovic responds to Piers Morgan's apology as he insists he was
'misinterpreted' over Australian Open Covid scandal after broadcaster's
'liar and cheat' tweets
-
Novak Djokovic accepted an apology from Piers Morgan after he was branded a
'liar and cheat' after the Serbian tennis star was deported from the 2021
Austr...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment