Afisa Habari wa klabu ya Simba, Hajji Sunday Manara akiwa na kocha mpya Mbelgiji, Sven Ludwig Vandenbroeck mwenye umri wa miaka 40 baada ya kuwasili nchini jana kwa ajili ya kusaini mkataba wa kujiunga na klabu hiyo kufuatia kuachana na timu ya taifa ya Zambia. Vandenbroeck aliyezaliwa Septemba 22 mwaka 1979 mjini Vilvoorde, Ubelgiji anazidiwa mwaka mmoja na msaidizi wake, Suleiman Matola aliyezaliwa Aprili 24 mwaka 1978 mjini Kigoma
FIFA hit by 'major class-action lawsuit' by players' group who are seeking
BILLIONS in compensation over transfer rules after EU law breach last year
-
A group of current and former footballers are reportedly set to take legal
action against FIFA over the world football governing body's current
transfer ru...
39 minutes ago
0 comments:
Post a Comment