Vinicius Junior akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid bao la pili dakika ya 64 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, Club Brugge kwenye mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Jan Breydel mjini Brugge. Mabao mengine ya Real Madrid yalifungwa na Rodrygo dakika ya 53 na Luka Modric dakika ya 90 na ushei, wakati la Club Brugge lilifungwa na Hans Vanaken dakika ya 55. Real imamaliza nafasi ya pili nyuma ya PSG na zote zinakwenda hatua ya 16 Bora PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former Arsenal star Thomas Partey arrives at court for rape hearing after
being charged with five counts against two women - and is met with protests
over Premier League club's alleged handling of saga involving midfielder
-
Partey, 32, faces five counts of rape and one count of sexual assault after
alleged offences between 2021 and 2022, the Crown Prosecution Service (CPS)
said.
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment