Mshambuliaji wa Juventus, Cristiano Ronaldo akipongezwa na wenzake baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya 75 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Bayer Leverkusen kwenye mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa BayArena. Bao la pili lilifungwa na Gonzalo Higuain dakika ya 90 na ushei. Juve imeongoza kundi hilo kwa pointi zake, ikifuatiwa na Atletico Madrid iliyomaliza na pointi 10 baada ya ushindi wa 2-0 dhidi ya Lokomotiv Moscow jana PICHA ZAIDI GONGA HAPA
He's the breakthrough heir to the First Family of Football. But Arch
Manning's debut season has started in disaster... and rumors have begun to
swirl
-
The NFL is littered with generations of stars linked through the same
family trees. But there is no family as successful, renowned or iconic as
the Manning...
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment