Philippe Coutinho akishangilia baada ya kuifungia Bayern Munich bao la tatu dakika ya 64 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Tottenham Hotspur jana Uwanja wa Allianz Arena mjini Munich kwenye mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao mengine ya Bayern Munich yalifungwa na Kingsley Coman dakika ya 14 na Thomas Muller dakika ya 45, wakati la Spurs lilifungwa na Ryan Sessegnon dakika ya 20. Bayern Munich imeongoza kundi kwa pointi zake 18, ikifuatiwa na Spurs pointi 10 na zote zinasonga mbele hatua ya 16 Bora PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Pep Guardiola issues hilarious 'come on you Irons' rallying cry to West Ham
as Man City pile pressure on title rivals Arsenal by moving to within two
points
-
Pep Guardiola insisted that Manchester City will breathe down Arsenal's
neck until the very last kick of the Premier League title race after
beating Brentf...
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment