Philippe Coutinho akishangilia baada ya kuifungia Bayern Munich bao la tatu dakika ya 64 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Tottenham Hotspur jana Uwanja wa Allianz Arena mjini Munich kwenye mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao mengine ya Bayern Munich yalifungwa na Kingsley Coman dakika ya 14 na Thomas Muller dakika ya 45, wakati la Spurs lilifungwa na Ryan Sessegnon dakika ya 20. Bayern Munich imeongoza kundi kwa pointi zake 18, ikifuatiwa na Spurs pointi 10 na zote zinasonga mbele hatua ya 16 Bora PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NNPP chieftain congratulates Ladoja on nomination, ratification as 44th
Olubadan
-
By Oluseye Ojo A chieftain of New Nigeria People’s Party (NNPP) in the
South West, Olufemi Oguntoyinbo, has congratulated a former governor of Oyo
State,...
58 minutes ago
0 comments:
Post a Comment