Gabriel Jesus akishangilia baada ya kuifungia Manchester City mabao matatu dakika za 34, 50 na 54 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, Dinamo Zagreb kwenye mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Maksimir, Zagreb. Bao la nne la Man City lilifungwa na Phil Foden dakika ya 84, wakati la Dinamo Zagreb lilifungwa na Daniel Olmo dakika ya 10. Manchester City imeongoza kundi hilo kwa pointi zake 14, ikifuatiwa na Atalanta iliyomaliza na pointi saba baada ya kuwafunga wenyeji Shakhtar Donetsk 3-0 jana na zote zinafuzu hatua ya 16 Bora PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tennis star Bernard Tomic needed to win one point to claim victory - but
what happened next will go down as one of the most embarrassing on-court
moments in his colourful career
-
Bernard Tomic's revival the past couple of years has been impressive as he
approaches the twilight of his career - but he will cringe when he looks
back at...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment