Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akiwa ameshika tuzo ya Ballon d'Or 2019 baada ya kukabidhiwa jana Jijini Paris, Ufaransa kufuatia kushinda kwa mara ya sita ambayo inakuwa rekodi. Messi amewashinda beki Mholanzi, Virgil van Dijk aliyemaliza wa pili na mshambuliaji Mreno, Cristiano Ronaldo aliyeshika nafasi ya tatu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lionel Messi makes more MLS history as fastest player to 100 goals and
assists
-
Lionel Messi moved his career MLS totals to 59 goals and 41 assists in
Inter Miami's win, becoming the fastest player ever to 100 goal
contributions.
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment