Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akiwa ameshika tuzo ya Ballon d'Or 2019 baada ya kukabidhiwa jana Jijini Paris, Ufaransa kufuatia kushinda kwa mara ya sita ambayo inakuwa rekodi. Messi amewashinda beki Mholanzi, Virgil van Dijk aliyemaliza wa pili na mshambuliaji Mreno, Cristiano Ronaldo aliyeshika nafasi ya tatu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Commander denies Boko Haram hit Borno military base
-
From Timothy Olanrewaju, Maiduguri The Theatre Commander Joint Task Force
Northeast Operation Hadin Kai, Maj Gen Abdulsalam Abubakar, has refuted
claims ...
40 minutes ago
0 comments:
Post a Comment