WACHEZAJI YANGA SC WALIPOPIMWA CORONA JANA TAYARI KUANZA MAZOEZI KUJIANDAA KUMALIZIA LIGI KUU
Daktari wa Yanga SC, Shecky Mngazija (kushoto) akiwapima wachezaji wa timu hiyo jana tayari kuanza mazoezi kujiandaa kumalizia msimu baada ya zuio la tangu katikati ya Machi kwa hofu ya mambukizi ya virusi vya corona vinavyosababisha ugonjwa wa COVID19
0 comments:
Post a Comment