Kiungo wa timu ya wanaume ya Yanga SC, Mnyarwanda Haruna Niyonzima akiwa na beki wa timu ya wanawake ya Simba SC, Fatuma Issa 'Densa' mazoezini ufukweni mwa Bahari ya Hindi, Dar es Salaam kipindi hiki klabu zao zimesitisha mazoezi ya vikosi vyake baada ya zuio la Serikali kufuatia mlipuko wa maambukizi ya virusi vya corona vinavyosababisha ugonjwa wa COVID19
EFCC: We will never allow relooting of recovered assets again
-
From Noah Ebije, Kaduna Nigeria’s apex anti-graft agency, the Economic and
Financial Crimes Commission (EFCC), has assured Nigerians that it will
never a...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment