WACHEZAJI wa Simba SC kutoka kulia kiungo mshambuliaji Bakari Iddi, beki Fikiri Magoso na mshambuliaji Gabriel ‘Gebo’ Peter Magali (sasa marehemu) kabla ya moja ya mechi zao za Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati mwaka 1992 Uwanja wa Amaan, Zanzibar, msimu ambao Wekundu hao wa Msimbazi walibeba taji hilo baada ya kuwafunga watani, Yanga kwa penalti kwenye fainali.
Liverpool 1-1 Chelsea - PLAYER RATINGS: Which Blues defender 'impressed' in
a brand new role? Who took 41 MINUTES to make his first touch? And which
22-year-old star must start showing more?
-
Liverpool and Chelsea played out a 1-1 draw at Anfield on Saturday. Daily
Mail Sport's KIERAN GILL runs the rule over performances in both red and
blue at ...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment