WACHEZAJI wa Simba SC kutoka kulia kiungo mshambuliaji Bakari Iddi, beki Fikiri Magoso na mshambuliaji Gabriel ‘Gebo’ Peter Magali (sasa marehemu) kabla ya moja ya mechi zao za Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati mwaka 1992 Uwanja wa Amaan, Zanzibar, msimu ambao Wekundu hao wa Msimbazi walibeba taji hilo baada ya kuwafunga watani, Yanga kwa penalti kwenye fainali.
Northern Ireland captain Magill announces pregnancy
-
Northern Ireland captain and Birmingham City striker Simone Magill
announces she is pregnant and will sit out the rest of the season.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment