Wachezaji wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, beki wa Yanga, Juma Abdul (kulia) na kiungo wa Simba SC, Mohamed Ibrahim 'Mo' (kushoto) anayecheza kwa mkopo Namungo FC wakifanya mazoezi Uwanja wa Mwalimu Nyerere, Magomeni Kagera, Dar es Salaam kipindi hiki ligi hiyo imesimama kutokana na mlipuko wa maambukizi ya virusi vya corona, vinavyosababisha ugonjwa wa COVID19
Northern Ireland captain Magill announces pregnancy
-
Northern Ireland captain and Birmingham City striker Simone Magill
announces she is pregnant and will sit out the rest of the season.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment