Beki mkongwe wa Mtibwa Sugar, Salum Kanoni Kupela akikokota mpira mazoezini Uwanja wa Manungu, Turiani mkoani Morogoro kujiandaa kumalizia msimu baada ya zuio la tangu katikati ya Machi kwa hofu ya mambukizi ya virusi vya corona vinavyosababisha ugonjwa wa COVID19
0 comments:
Post a Comment