Wachezaji wa Bayern Munich wakishangilia ushindi wao wa 5-2 dhidi ya Frankfurt katika mchezo wa Bundesliga, mabao ya Leon Goretzka dakika ya 17, Thomas Muller dakika ya 41, Robert Lewandowski dakika ya 46, Alphonso Davies dakika ya 61 na Martin Hinteregger aliyejifunga dakika ya 74 ambaye pia alifunga mabao yote ya timu yake dakika za 52 na 55. Kwa ushindi huo, Bayern Munich inaendelea kuongoza Bundesliga kwa pointi nne zaidi ya Borussia Dortmund (61-57) baada ya tmu zote kucheza mechi 27 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea suffer early injury blow as star is forced off after just FIVE
minutes of Champions League clash with Qarabag
-
The Belgian midfielder, making just his fourth start of the season, pulled
up in visible discomfort before being replaced by Moises Caicedo.
36 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment