Wachezaji wa Yanga SC kutoka kulia Salum Kabunda ‘Ninja’ (sasa marehemu), Kenny Mkapa, Abeid Mziba, Method Mogella, David Mwakalebela, Said Mwamba ‘Kizota’ (marehemu) na Hamisi Gaga (sasa marehemu) wakifurahia ushindi wa 1-0 dhidi ya watani wao wa jadi, Simba SC Aprili 12, mwaka 1992 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara Uwanja wa Uhuru (sasa Taifa) Jijini Dar es Salaam. Bao hilo pekee la Yanga lilifungwa na beki wa kushoto, Kenneth Pius Mkapa dakika ya 10 akimtungua kipa hodari, Mwameja Mohamed.
Rory McIlroy breaks his silence on LIV Golf's bold new plan for 2026 as he
reveals why he isn't convinced by the move
-
Rory McIlroy says he isn't convinced by LIV Golf's surprising decision to
move to a more traditional 72-hole format at its tournaments in 2026.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment