Joshua Kimmich akishangilia baada ya kuifungia Bayern Munich bao pekee dakika ya 43 ikiwalaza wenyeji, Borussia Dortmund 1-0 kwenye mchezo wa Bundesliga Uwanja wa Signal-Iduna-Park Jijini Dortmund jana. Ushindi huo unawafanya Bayern Munich waongoze Bundesliga kwa pointi saba zaidi ya Dortmund zikiwa zimesala mechi sita hivyo kukaribia kutwaa taji la nane mfululizo la ligi hiyo
Chelsea suffer early injury blow as star is forced off after just FIVE
minutes of Champions League clash with Qarabag
-
The Belgian midfielder, making just his fourth start of the season, pulled
up in visible discomfort before being replaced by Moises Caicedo.
37 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment