Bondia mstaafu, Mike Tyson mwenye umri wa miaka 53 (kushoto) akiwa gym kujijndaa kurejea uliangoni tangu alipopigana kwa mara ya mwisho Juni 11, mwaka 2005 na kushindwa kwa pinti na Kevin McBride ukumbi wa MCI Center Jijini Washington. Promota wa ngumi Jijini Melbourne, Brian Amatruda amempa Tyson ya kurudi ulingoni kwa pambano na gwji wa Rugby, Sonny Bill Williams nchini Australia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Simple photos sum up why eight million people are FURIOUS about State of
Origin
-
The NSW Blues came tantalisingly close to pulling off their biggest Origin
comeback ever in Perth on Wednesday night - but the close loss wasn't the
only t...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment