Bondia mstaafu, Mike Tyson mwenye umri wa miaka 53 (kushoto) akiwa gym kujijndaa kurejea uliangoni tangu alipopigana kwa mara ya mwisho Juni 11, mwaka 2005 na kushindwa kwa pinti na Kevin McBride ukumbi wa MCI Center Jijini Washington. Promota wa ngumi Jijini Melbourne, Brian Amatruda amempa Tyson ya kurudi ulingoni kwa pambano na gwji wa Rugby, Sonny Bill Williams nchini Australia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Punters denied fitting finale as cricket shoots itself in the foot - NASSER
HUSSAIN
-
NASSER HUSSAIN: I still can't shake the feeling that cricket shot itself in
the foot by playing by the rules. In situations like that, I just wish
there wa...
52 minutes ago
0 comments:
Post a Comment