Mshambuliaji wa Simba SC, Meddie Kagere (kushoto) akiwa na Mratibu wa timu hiyo, Abbas Suleiman baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam tayari kuanza mazoezi na timu yake baada ya kuvunja kambi tangu katikati ya Machi kwa hofu ya mambukizi ya virusi vya corona vinavyosababisha ugonjwa wa COVID19
Chelsea suffer early injury blow as star is forced off after just FIVE
minutes of Champions League clash with Qarabag
-
The Belgian midfielder, making just his fourth start of the season, pulled
up in visible discomfort before being replaced by Moises Caicedo.
37 minutes ago




.png)
0 comments:
Post a Comment