Mshambuliaji wa Simba SC, Meddie Kagere (kushoto) akiwa na Mratibu wa timu hiyo, Abbas Suleiman baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam tayari kuanza mazoezi na timu yake baada ya kuvunja kambi tangu katikati ya Machi kwa hofu ya mambukizi ya virusi vya corona vinavyosababisha ugonjwa wa COVID19
Ekiti PDP: No weak candidate for 2026 guber race
-
From Priscilla Ediare, Ado-Ekiti As the race for the 2026 governorship
election gathers momentum in Ekiti State, the Peoples Democratic Party
(PDP) has s...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment