Promota Eddie Hearn amesema pambano la ngumi za kulipwa la uzito wa juu kati ya Dillian Whyte (kushoto) na Alexander Povetkin (kulia) litafanyika bila watazamaji ukumbi wa Manchester Arena, England mwishoni mwa Julai au mwanzoni mwa Agosti kutokana na hofu ya maambukizi ya virusi vya corona kipindi hiki misongamano ya watu imezuiwa duniani kote sababu ya mlipuko wa virusi hivyo vinavyosababisha ugonjwa hatari wa COVID 19
Chelsea suffer early injury blow as star is forced off after just FIVE
minutes of Champions League clash with Qarabag
-
The Belgian midfielder, making just his fourth start of the season, pulled
up in visible discomfort before being replaced by Moises Caicedo.
34 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment